Advertisemet

.

Tuesday, 22 April 2014

MAMA SALMA KIKWETE MKE WA RAIS ATEMBELEA KITUO CHA WALEMAVU CHA RASIBURA KILICHOPO LINDI NA KUTOA ZAWADI YA PASAKA.


Mke wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete akimkabidhi         kiongozi wa kituo cha walemavu cha Rasibura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya               vyakula alivyowaletea.


Mama Salma Kikwete akiongea na baadhi ya walemavu wanaoishi katika kituo cha                   Rasibula mara baada ya kuwakabidhi zawadi zao za pasaka.


Mke wa Rais mama Salma Kikwete akimkabidhi zawadi ya pasaka Theresia Thomas               ambaye ni mlemavu wa viungo anayeishi katika kituo hicho cha Rasibula kilichopoLindi             Tanzania.

Mama Salma Kikwete akipiga picha na Theresia akiwa amelala kitandani kwani hawezi             kukaa wala kusimama.

No comments:

Post a Comment

 
Don't Forget To Join US In MalikiaTz Community
×
bloggerWidget