Advertisemet

.

Thursday, 27 March 2014

RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA KWEMHOSI WILAYANI MUHEZA.


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji Bibi Rukia Bakari muda mfupi baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani Muheza Mkoa wa Tanga.Mradi huo utavinufaisha vijiji vinane katika wilaya hiyo yenye uhaba mkubwa wa maji

No comments:

Post a Comment

 
Don't Forget To Join US In MalikiaTz Community
×
bloggerWidget