Advertisemet

.

Monday, 28 April 2014

FAMILIA KITCHEN PARTY GALA YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM






          Wageni wakiwa waalikwa wakipata maelezo kabla ya kuingia ndani ya ukumbi


    Mtoa huduma wa upimaji wa PSI Renata akitoa maelezo kwa mwanamama aliyehudhuria         katika sherehe hiyo.


  Daktari akitoa maelezo kwa bi Zainab kabla ya kwenda kupima saratani ya shingo ya kizazi.


 Watoa huduma wa PSI wakiwa wanasikiliza kwa makini mada iliyokuwa inafafanuliwa.


Mfanyakazi wa kampuni ya usafirishaji na pia ni mjasiriamali wa kutengeneza  nguo za kiafrika akifuatilia kwa makini mada iliyokuwa ikitolewa




                          Burudani ilipamba moto  wakina mama na wadada wakicheza kwaito


         Aunt Sadaka akitoa somo kwa wakina dada na kina mama waliohudhuria


      Muelimishaji Chris akitoa somo la saikolojia kwa wanawake


    Mama Victor ni akitoa somi la ndoa kwa wanawake.


  Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake akitoa elimu kwa wakina mama.


      Mwasiti akiwaburudisha wanawake. 








          Muda wa chakula huo


Khadija Kopa akiwa na muandaaji wa Kitchen party gala Vida wakipozi kwa ajili ya picha

No comments:

Post a Comment

 
Don't Forget To Join US In MalikiaTz Community
×
bloggerWidget