Advertisemet

.

Monday, 14 April 2014

WANAWAKE WAJASIRIAMALI WAHAMASISHWA KUJIUNGA NA MFUKO WA JAMII WA PPF

Hapa anaonekana Bi Mwanne Yusuf kushoto akiteta jambo na Bi Upendo Singinika afisa mwezeshaji wa mfuko wa PPF mwisho ni Bi Upendo Mazuki afisa msimamizi wa mfuko PPF.

Wajasiriamali wadogo na wanahisa wa kata ya Bunju na Mabwepande wakimsikiliza kwa makini afisa wa PPF akisisitiza nini faida ya kuweka akiba uzeeni



Getrude Athanas afisa mwezeshaji wa mfuko wa PPF kulia akigawa fomu kwa wajasiriamali za kujiunga na mfuko wa PPF

Wanahisa na wajasiriamali wakipata kifungua kinywa

Mwenyekiti wa wajasiriamali  akiteta na maafisa wa PPF

No comments:

Post a Comment

 
Don't Forget To Join US In MalikiaTz Community
×
bloggerWidget