Mwanamitindo wa kimataifa anyetokea Tanzania Flavian Matata ambaye amekuwa akiishi Marekani,kufungua ukurasa mpya kwenye maisha yake baada ya kuvikwa pete ya uchumba
Kwa furaha aliyonayo alipost picha kwenye account yake ya instagram @FlaviaMatata tarehe 16 Nov 2014 na kuionesha hiyo pete na kama haitoshi akaandika maneno haya I said YES








No comments:
Post a Comment