Advertisemet

.

Sunday, 9 March 2014

BAADHI YA MATUKIO KATIKA SIKU YA WANAWAKE TANZANIA 2014.


          Wanawake wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakisherehekea wakati wa maadhimisho ya siku
          ya Wanawake kuelekea uwanja wa mwembe yanga.



           
Bibi akiwa na wanawake wa Maliasili na Utalii akisherehekea siku ya wanawake.


     

            Wafanyakazi wa PPF wakisheherekea siku ya wanawake.




Wizara ya Mambo ya Ndani wakisindikizwa na Bendi ya Polisi wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake.

Bendi ya jeshi la Kujenga Taifa wakiwasindikiza waandamaji katika kilele cha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika Viwanja Vya Mwembe Yanga, Wilayani Temeke

            Magereza hawakua nyuma

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari nao wakishangilia siku ya wanawake duniani

Wakazi wa Jiji la Dar es salaam wakitembelea Mabanda mbalimbali yaliyopo katika uwanja huo wa Mwembe Yanga wakati wa Maadhimisho ya Sikukuu ya Wanawake Duniani

Doroth Kaiyuzi , Kutoka Chama cha Wasioona Akisoma Risala mbele ya Wageni Rasmi katika     Maadhimisho ya Sikukuu ya Wanawake yaliyofanyika katika Uwanja wa Mwembe Yanga, Jijini 
Dar Es Salaam

Jovina Vedastus  ambaye ni Fundi wa Ushonaji na utengenezaji wa Batiki akicheza muziki pamoja na wanafunzi wenye ulemavu ambapo alikonga nyoyo za watu wengi kwa umahili wake huo katika kucheza


Wanafunzi wa Chuo cha ufundi cha watu wenye ulemavu wa jumla, wakiwa wanafuatilia kwa umakini kinacho endelea uwanjani hapo



Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi upimaji wa saratani ya  mlango wa kizazi wakati wa kilele cha siku ya wanawake duniani katika sherehe iliyofanyika katika uwanja wa Nyamagana huko Mwanza.


  Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, akitoa hotuba kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani iliyoandaliwa na wanawake Jiji la Mbeya.

No comments:

Post a Comment

 
Don't Forget To Join US In MalikiaTz Community
×
bloggerWidget