Hapa anaonekana Bi Mwanne Yusuf kushoto akiteta jambo na Bi Upendo Singinika afisa mwezeshaji wa mfuko wa PPF mwisho ni Bi Upendo Mazuki...
Kichen Party with Mum
SOMO LA WIKI
Blog Archive
Monday, 31 March 2014
WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYA YA NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA
Akina mama wakiwa wametoka kununua samaki kwenye bandari ndogo ya Kabwe,Wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wameeleza kuwa wengi wao wamekuwa wakijishughulisha na biashara ya samaki ili kujiingizia kipato katika suala zima la kujikwamua na kimaisha.
No comments:
Post a Comment