Jackson Kiswaga akiwa na wanachama wa kikundi cha Vicoba Twiyendage Kalenga mara baada ya kuzindua kikundi hicho
Mgeni rasmi ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Tigo nyanda za juu kusini Bw Jackson Kiswaga akimkabidhi mwenyekiti wa kikundi hicho Bi Mwahija Witala msaada wa fedha kiasi cha Tsh 500,000 kati ya shilingi 700,000 alizoahidi kwa kikundi hicho.








No comments:
Post a Comment