Advertisemet

.

Monday, 24 March 2014

ZOEZI LA SENSA YA VIWANDA LAFUNGULIWA NA NAIBU WAZIRI JANETH MBENE.


Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Janeth Mbene akiwahutubia wadadisi na wasimamizi kabla ya kufungua rasmi mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda yaliyofanyika leo mkoani Morogoro.


Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Janeth Mbene (katikati) akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua rasmi mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda yaliyofanyika leo mkoani Morogoro.


Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo mafupi kuhusu Sensa ya Viwanda wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda uliyofanyika leo mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment

 
Don't Forget To Join US In MalikiaTz Community
×
bloggerWidget