Mratibu wa mashindano ya Miss Uni-College Temeke, Silas Michael (katikati) akiwatambulisha baadhi ya warembo ambao Jumamosi watapanda jukwaani kwenye ukumbi wa Dar Live kuwania nafasi ya mshindi wa kwanza. Mashindano hayo yatapambwa na burudani kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini, Snura Mushi “Mamaa Majanga” .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







No comments:
Post a Comment