Soko la vinyago mkoan Arusha lateketea kwa moto usiku wa kuamkia tarehe 18 November 2014 na kusababisha harasa ya mabillion
Wananchi na wafanyabiashara ambao vibanda na mali zao ziliungua wanasema walianza kupata habari za moto huo mida ya saa tatu usiku na walipofika walikuta tayari mali zimeshateketea.Wanasema ni vigumu kubaini chanzo cha hajari hiyo kwani katika maeneo haya hakuna umeme wala chanzo kingine cha moto
HABARI PICHA
Baadhi ya bidhaa ziliteketea na moto
.jpg)










No comments:
Post a Comment